• eLengo is East Africa's farming hub, combining an online community, educational resources and dynamic marketplace to help you reach your full potential.

    Guests may browse our forums, but to participate in the conversations you must be logged in. We encourage you to join now- it's easy and it's FREE!

    (and it will make this box go away)

What do you think of the president agriculture reforms? Do you think farmer challenges have been addressed?

Any farmer who thinks that the president is now serious about reforming agriculture.
Do you feel you will benefit as a farmer? Farming is becoming harder and harder. One side is political and the other side is changed climate.
 
Last edited:

Yohana Mpela

New member
Kwa upande wangu bado mapinduzi ya kilimo kwa nchi yangu hayajafanyika bado.yote kwa sababu ya sera lakin pia na utekelezwaji wa miradi mbali mbali kusuasua. changamoto wanazokabiliana nazo wakulima ni kubwa kuliko sapoti kutoka serikalini. Labda kwa mabadiliko zaidi kungekuwepo na ushirikishwaji baina na wataraam wa kilimo katika kukuza sekta ya kilimo. Lakin pia ningefurahi kama tungepata serikali yenye sera madhubuhtu juu ya mapinduzi ya kilimo africa.
 
Top